• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za wafanyakazi |
Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Muleba

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya muleba
    • Dira na Dhima
    • Core Values
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara/Vitengo
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
      • Sheria
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Mali asili
      • Ugavi
      • TEHEMA
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Utumishi
      • Fedha
      • Mipango na Uchumi
      • Maji
      • Afya
      • Maendeleo ya Jamii
      • Kilimo/Umwagiliaji
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Ratiba
  • Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi,Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
  • Miradi
    • Itakayo- Tekelezwa
      • Inayo-Endelea
      • Iliyo-Kamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za ofisini au Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi mbalimbali
    • Makitaba ya Picha

WAZEE WETU FAHARI YETU

Imewekwa : May 4th, 2018

Shirika la Wazee Nshamba limekuwa msaada mkubwa sana kwa wazee wa wilayani Muleba wenye umri wa kuanzia miaka 70 ambapo wazee hao wamekuwa wakipata huduma mbalimbali ikiwemo malipo ya Pensheni, Mazoezi ya viungo na huduma za kiafya.

Moja ya majukumu ya Shirika hili ni kuwa huduma wazee kiafya ambapo umpeleka Daktari katika maeneo yao kwa ajili ya kufanya uchunguzi na wagonjwa wanaobainika hupewa matibabu kulingana na matatizo wanayokutwa nayo ikiwemo kufanyiwa operesheni.

Dkt. Lwabukambwe Emmanuel, Daktari wa Macho katika hospitali ya Ndolage, iliyopo kata Kamachumu, Wilaya ya Muleba ameeleza kuwa Presha ya Macho, mtoto wa jicho na ukungu wa macho ni magonjwa yanayowakabili wazee wengi hivyo kushindwa kujitegemea/kujihudumia wenyewe. Baada ya kulitambua hilo Shirika la kwa Wazee Nshamba liliona umuhimu wa kuwahudumia wazee kwa kuwagharamia matibabu hayo ambapo hatua za awali madaktari wanakwenda katika kijiji husika na kufanya uchunguzi na vipimo, baada ya hapo wazee wanaogundulika na matatizo mbalimbali hupewa matibabu mbalimbali kama vile dawa, miwani na upasuaji.

"Mwanzoni huduma hii ilikuwa inatolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Muleba kupitia Idara ya Afya, kifungu cha mfuko wa" Basket Fund" lakini baada fedha hizi ziliachwa kutolewa na wafadhili ndipo Shirika la Wazee Nshamba liliona umuhimu wa kuendeleza huduma hii muhimu kwa wazee wetu" alieleza Dkt. Lwabukambwe Emmanuel.

Changamoto kubwa wanayokutana nayo wakati wa matibabu na wazee kuwa na magonjwa mengine kama Kisukari, matatizo ya moyo, mifupa na presha hivyo kuchukua muda mrefu kuwatibu lakini shirika limekuwa likiwadumia wazee hao kwa magonjwa yote wanayobainika kuwa nayo hadi wanapona au kupata nafuu.



Matangazo ya kawaida

  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA BWENI,UFUNDI NA SHULE MAALUM December 18, 2020
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA SHULE ZA KUTWA KIDATO CHA KWANZA December 18, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • UJENZI WA KITUO CHA AFYA KIMEYA WAPIGA HATUA

    May 26, 2018
  • MAPATO YA NDANI YAIMARISHA VITENDEA KAZI

    May 25, 2018
  • WAZEE WETU FAHARI YETU

    May 04, 2018
  • TUMLINDE MTOTO WA KIKE NGUVU KAZI YA TAIFA LA KESHO

    April 23, 2018
  • Angalia zote

Video

Hotuba ya jana ya Rais akiwa nchini Kampala
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ajira
  • Kagera
  • Immigration

Tovuti mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • IKULU
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais- UTUMISHI
  • Idara ya Habari Maelezo

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Waliotembelea

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Kagabiro

    Sanduku la Barua: 131 Muleba, Kagera

    Simu: +255 (28) 222-4013

    Simu: +255-756-350-183

    Barua Pepe: ded@mulebadc.go.tz

Mawasiliano mengineyo

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki@2017 Haki zote zimehifadhiwa